Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Faraja kwa Watu wa Mungu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 19. Kwa nini Wayahudi waaminifu wanaweza kuwa na uhakika kamili na maneno ya Yehova?

      19 Yehova anaendelea kusema hivi, bado akiifariji Sayuni: “Maana mimi ni BWANA, Mungu wako, niichafuaye bahari, mawimbi yake yakavuma. BWANA wa majeshi ndilo jina lake.

  • Faraja kwa Watu wa Mungu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 51:15,

  • Faraja kwa Watu wa Mungu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Biblia hutaja mara nyingi kwamba Mungu anaweza kunyosha nguvu zake juu ya bahari na kuidhibiti. (Ayubu 26:12; Zaburi 89:9; Yeremia 31:35) Anadhibiti kabisa nguvu za asili, kama alivyoonyesha alipowakomboa watu wake kutoka Misri. Ni nani anayeweza kulinganishwa na ‘Yehova wa majeshi,’ hata kwa njia ndogo sana?—Zaburi 24:10.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki