-
Kundi Moja, Mchungaji MmojaMnara wa Mlinzi—2010 | Machi 15
-
-
Hata ingawa wao si washiriki wa agano hilo, ‘wanalishika’ agano hilo kwa kutii matakwa yake, kama ilivyotabiriwa na nabii Isaya: “Wageni ambao wamejiunga na Yehova ili kumhudumia na kulipenda jina la Yehova, ili kuwa watumishi wake, wale wote wanaoishika sabato ili wasiitie unajisi na kulishika agano langu,
-