Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Aokolewa Asiliwe na Simba!
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • NJAMA YA UUAJI YAANZA KUTEKELEZWA

      7. Mawaziri na maliwali walimpendekezea mfalme nini, nao walifanyaje hivyo?

      7 Dario alifikiwa na msafara wa mawaziri na maliwali ‘waliokusanyika pamoja mbele ya mfalme.’ Usemi wa Kiaramu unaotumiwa hapa una wazo la rabsharabsha zenye kelele. Yaonekana kwamba watu hao walifanya ionekane kana kwamba walikuwa na jambo la dharura la kumwambia Dario. Huenda walifikiri kwamba hangezusha maswali juu ya pendekezo lao ikiwa wangemwambia kwa usadikisho na kana kwamba ni jambo lililohitaji kuchukuliwa hatua mara moja.

  • Aokolewa Asiliwe na Simba!
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • Danieli 6:6,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki