-
Uwezo wa Kurudisha Hali Nzuri—Yehova ‘Anafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya’Mkaribie Yehova
-
-
Kwa kweli, Biblia inaonyesha kwamba Yehova anakusudia ‘kurudisha mambo yote.’ (Matendo 3:21) Yehova atatumia Ufalme wa Kimesiya, unaotawaliwa na Mwanaye, Yesu Kristo ili kutimiza hayo. Kuna uthibitisho kwamba Ufalme huo ulianza kutawala mbinguni mwaka wa 1914.a (Mathayo 24:3-14)
-
-
Uwezo wa Kurudisha Hali Nzuri—Yehova ‘Anafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya’Mkaribie Yehova
-
-
a “Nyakati za kurudishwa kwa mambo yote” zilianza wakati Ufalme wa Kimesiya uliposimamishwa, mrithi wa Mfalme Daudi aliyekuwa mwaminifu alipowekwa kuwa mtawala wa Ufalme huo. Yehova alikuwa amemwahidi Daudi kwamba mrithi wake angetawala milele. (Zaburi 89:35-37) Lakini baada ya Babiloni kuharibu Yerusalemu mnamo mwaka wa 607 K.W.K., kiti cha enzi cha Mungu hakikukaliwa na mwanadamu mwingine yeyote aliye mzao wa Daudi. Yesu, aliyezaliwa duniani akiwa mrithi wa Daudi, akawa Mfalme aliyeahidiwa tangu kale alipotawazwa mbinguni.
-