-
“Wakeni Roho”Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 15
-
-
Unyenyekevu na Kiasi
7. Kwa nini tunapaswa kuwa wanyenyekevu na wenye kiasi katika utumishi wetu?
7 Soma Waroma 12:3, 16.
-
-
“Wakeni Roho”Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 15
-
-
Paulo anasema hivi tena: “Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe.” Katika barua yake nyingine, mtume huyo anatuambia tusifanye ‘jambo lolote kwa ugomvi au kwa kujisifu, bali kwa unyenyekevu wa akili tukiwaona wengine kuwa ni bora kuliko sisi.’ (Flp. 2:3) Tunahitaji jitihada nyingi na unyenyekevu wa kweli ili kutambua kwamba kila mmoja wa ndugu na dada zetu ni bora kuliko sisi katika njia moja au nyingine. Unyenyekevu utatuzuia kuwa “wenye busara machoni [petu] wenyewe.” Ingawa mapendeleo ya utumishi wa pekee yanaweza kuwafanya wengine wajulikane zaidi, wote watapata shangwe nyingi wakitimiza “mambo ya hali ya chini,” kazi za hali ya chini ambazo mara nyingi zinapuuzwa na watu.—1 Pet. 5:5.
-