-
“Ufufuo wa Kwanza”—Unaendelea Sasa!Mnara wa Mlinzi—2007 | Januari 1
-
-
15, 16. Eleza kwa nini maneno ya Ufunuo 6:10, 11 yanahusu ufufuo wa kwanza.
15 Kama vile damu ya Abeli mwadilifu, damu ya Wakristo hao waliouawa kwa sababu ya imani yao inalia ili haki ifanywe. (Mwanzo 4:10) “Wakalia kwa sauti kubwa, wakisema: ‘Utajizuia mpaka wakati gani, Bwana Mwenye Enzi Kuu mtakatifu na wa kweli, kuhukumu na kulipiza kisasi cha damu yetu juu ya wale wanaokaa duniani?’”
-