Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Usimamizi wa Kutimiza Kusudi la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Februari 15
    • 8. Ni nini maana ya neno linalotafsiriwa kuwa “usimamizi”?

      8 ‘Upendezi mwema’ wa Yehova, au kusudi lake, litatimizwa kupitia “usimamizi” fulani. Paulo alitumia neno ambalo, linapotafsiriwa moja kwa moja humaanisha “usimamizi wa nyumba.” Halirejelei serikali, kama vile Ufalme wa Kimasihi, bali linarejelea njia ya kusimamia mambo.b

  • Usimamizi wa Kutimiza Kusudi la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Februari 15
    • b Maneno ya Paulo yanaonyesha kwamba “usimamizi” huo ulikuwepo katika siku zake, hali Maandiko yanaonyesha kwamba Ufalme wa Kimasihi ulisimamishwa mwaka wa 1914.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki