-
Barabara za Roma Kumbukumbu za Uinjinia wa KaleMnara wa Mlinzi—2006 | Oktoba 15
-
-
Paulo alielekea Roma akitumia Njia ya Apio ili akutane na waamini wenzake kwenye Soko la Apio lenye shughuli nyingi, kilometa 74 kusini mashariki ya Roma. Wengine walimngoja kwenye kituo cha mapumziko cha Mikahawa Mitatu, kilometa 14 karibu na Roma. (Matendo 28:13-15)
-
-
Barabara za Roma Kumbukumbu za Uinjinia wa KaleMnara wa Mlinzi—2006 | Oktoba 15
-
-
[Picha katika ukurasa wa 17]
Paulo alikutana na waamini wenzake kwenye Soko la Apio lenye shughuli nyingi
-