Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 3—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Lilikuwa jambo la kawaida kwa mwangalizi wa tawi, Alexander MacGillivray, Mscotland, kumwalika painia kijana mwenye bidii katika ofisi yake, na kumwonyesha ramani ya eneo la tawi na kumwuliza: ‘Je, ungependa kuwa mishonari?’ Kisha, akielekeza kwenye eneo ambalo ni kazi ndogo sana ya kuhubiri imefanywa, alikuwa akiuliza: ‘Je, ungependa kufungua kazi katika eneo hili?’

  • Sehemu ya 3—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Ramani/Picha katika ukurasa wa 446]

      Alexander MacGillivray, akiwa mwangalizi wa tawi la Australia, alisaidia kupanga safari za kuhubiri katika nchi na visiwa vingi

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki