-
Barnaba Yule “Mwana wa Faraja”Mnara wa Mlinzi—1998 | Aprili 15
-
-
Jina lake lenyewe lilikuwa Yosefu, lakini mitume walimpa jina la ziada la kumfafanua ambalo lilipatana sana na tabia yake, yaani, Barnaba, likimaanisha “Mwana wa Faraja.”a (Matendo 4:36)
-
-
Barnaba Yule “Mwana wa Faraja”Mnara wa Mlinzi—1998 | Aprili 15
-
-
a Kumwita mtu “mwana wa” sifa fulani kulikazia tabia fulani yenye kutokeza. (Ona Kumbukumbu la Torati 3:18, NW, kielezi-chini.) Katika karne ya kwanza, lilikuwa jambo la kawaida kutumia majina ya ziada kuelekeza uangalifu kwenye sifa za mtu. (Linganisha Marko 3:17.) Ilikuwa aina fulani ya kutambuliwa na watu wote.
-