-
Naweza Kuwasaidiaje Wenye Uhitaji?Amkeni!—2006 | Agosti
-
-
Je, umepata habari kwamba waamini wenzako wanahitaji msaada? Kwa mfano, je, kumetokea msiba wa asili? Hebu wazia jinsi ambavyo ungehisi ikiwa ungepoteza makao, mali, au hata kufiwa na mpendwa. Mtume Paulo aliandika kwamba Wakristo wanapaswa ‘kuangalia, si faida za kibinafsi za mambo yao wenyewe tu, bali pia faida za kibinafsi za wengine.’ (Wafilipi 2:4) Hata kama unaishi mbali na eneo lililokumbwa na msiba wa asili, huenda mchango wako ukasaidia katika kazi ya kutoa msaada inayofanywa na Mashahidi wa Yehova.a
-
-
Naweza Kuwasaidiaje Wenye Uhitaji?Amkeni!—2006 | Agosti
-
-
a Michango inayotolewa kwa ajili ya msiba fulani hususa huthaminiwa sana. Hata hivyo, inapendekezwa kwamba michango hiyo iwekwe katika sanduku la michango ya kazi ya ulimwenguni pote ya Mashahidi wa Yehova kwa kuwa pesa hizo zinaweza kutumiwa kunapokuwa na uhitaji.
-