Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mizunguko Inayotegemeza Uhai
    Amkeni!—2009 | Februari
    • Mzunguko wa kaboni na oksijeni unahusisha hatua mbili kuu—usanidimwanga na kupumua.a Usanidimwanga hutumia mwangaza wa jua, kaboni dioksidi, na maji ili kutokeza wanga na oksijeni. Wanyama na wanadamu wanapopumua, hewa hiyo huchanganyika na wanga na oksijeni na kutokeza nishati, kaboni dioksidi, na maji. Kwa hiyo, kile kinachotokezwa na mfumo mmoja hutumiwa na mfumo ule mwingine, na hilo hutendeka taratibu bila kutokeza takataka wala kelele yoyote.

      Oksijeni

      ←

      ← ←

      ↓ ↑

      ↓ ↑

      ↓ ↑

      → →

      →

      Kaboni dioksidi

  • Mizunguko Inayotegemeza Uhai
    Amkeni!—2009 | Februari
    • a Huenda kemikali zilezile zikatumika katika mizunguko mbalimbali. Kwa mfano, kaboni dioksidi, wanga, na maji zina oksijeni. Kwa hiyo, oksijeni inatumika katika mzunguko wa kaboni na ule wa maji.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki