-
Kutembelea Kisiwa cha ManAmkeni!—2005 | Julai 8
-
-
Mambo Yanayowavutia Watalii
Mara nyingi, watalii wanaozuru Kisiwa cha Man hutaka sana kumwona paka anayeitwa Manx. Mnyama huyo wa pekee ana uso wa paka lakini miguu yake ya nyuma ni mirefu kuliko ya mbele, kwa hiyo yeye husimama kama sungura. Isitoshe, paka huyo hana mkia. Ingawa haijulikani paka huyo alitoka wapi, imedokezwa kwamba karne nyingi zilizopita mabaharia walileta watoto wa paka huyo kutoka Asia, ambako kuna paka wasio na mkia, na hivyo kukawa na paka wa aina hii katika Kisiwa cha Man.
-
-
Kutembelea Kisiwa cha ManAmkeni!—2005 | Julai 8
-
-
[Picha katika ukurasa wa 15]
Paka asiye na mkia anayeitwa “Manx”
-