Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutembelea Kisiwa cha Man
    Amkeni!—2005 | Julai 8
    • Mambo Yanayowavutia Watalii

      Mara nyingi, watalii wanaozuru Kisiwa cha Man hutaka sana kumwona paka anayeitwa Manx. Mnyama huyo wa pekee ana uso wa paka lakini miguu yake ya nyuma ni mirefu kuliko ya mbele, kwa hiyo yeye husimama kama sungura. Isitoshe, paka huyo hana mkia. Ingawa haijulikani paka huyo alitoka wapi, imedokezwa kwamba karne nyingi zilizopita mabaharia walileta watoto wa paka huyo kutoka Asia, ambako kuna paka wasio na mkia, na hivyo kukawa na paka wa aina hii katika Kisiwa cha Man.

  • Kutembelea Kisiwa cha Man
    Amkeni!—2005 | Julai 8
    • [Picha katika ukurasa wa 15]

      Paka asiye na mkia anayeitwa “Manx”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki