-
Matukio Muhimu ya Mwaka Uliopita2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Mnamo Desemba 18, 2006, ujenzi ulianza katika ofisi ya tawi ya Chile ili kuongeza jengo la ofisi lenye ghorofa mbili, jengo la makao la ghorofa tatu, na kuongeza nafasi ya bohari. Mnamo Oktoba 16, 2010, watu 5,501 walihudhuria programu ya kuweka wakfu, ambapo David Splane wa Baraza Linaloongoza alitoa hotuba kwa Kihispania.
-
-
Matukio Muhimu ya Mwaka Uliopita2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 33]
Wajenzi katika eneo la ujenzi wa ofisi ya Burkina Faso
-