-
Wahama-Hamaji wa Asia Waliofanyiza MilkiAmkeni!—2008 | Mei
-
-
Mashambulizi yaliyofanywa kusini mwa China dhidi ya milki tajiri ya Sung yalifanikiwa. Kublai Khan alijitangaza kuwa mwanzilishi wa milki mpya ya China, na kuiita Yuan. Jiji kuu la milki hiyo leo linaitwa Beijing. Baada ya kuwashinda wale ambao bado walikuwa wakiunga mkono milki ya Sung mwishoni mwa miaka ya 1270, Kublai alitawala China iliyounganishwa kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa milki ya Tang mnamo 907.
-
-
Wahama-Hamaji wa Asia Waliofanyiza MilkiAmkeni!—2008 | Mei
-
-
Ili kuendeleza milki na mtindo wa starehe wa maisha ambao Wamongol walikuwa wamezoea, hatimaye Ögödei kwenda vitani tena—lakini wakati huu alitaka kupigana na nchi ambazo hawakuwa wamezitiisha. Alishambulia maeneo mawili tofauti—nchi za Ulaya upande wa magharibi na milki ya Sung kusini mwa China. Kampeni ya Ulaya ilifanikiwa, lakini ya China haikufanikiwa. Ijapokuwa walipata mafanikio fulani, Wamongol hawakufaulu kutiisha eneo kuu la Sung.
-
-
Wahama-Hamaji wa Asia Waliofanyiza MilkiAmkeni!—2008 | Mei
-
-
Khan Mkuu aliyefuata alikuwa Mongke, ambaye alitawazwa mnamo 1251. Yeye na nduguye Kublai walishambulia milki ya Sung kusini mwa China, huku jeshi lingine likishambulia maeneo ya magharibi.
-