Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Miongoni mwa nchi za Mashariki za kwanza kupelekewa wamishonari waliozoezwa kwenye Shule ya Gileadi ilikuwa China. Harold King na Stanley Jones waliwasili katika Shanghai katika 1947; Lew Ti Himm, katika 1949. Wale mapainia watatu Wajerumani waliokuwa wameanza kazi huko katika 1939 walikuwapo ili kuwalaki.

  • Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mapainia kutoka Australia na Ulaya walitoa ushahidi katkia Shanghai, Peking, Tientsin, Tsingtao, Pei-tai-ho, Chefoo, Weihaiwei, Canton, Swatow, Amoy, Foochow, Hankow, na Nanking wakati wa miaka ya 1930 na 1940. Wengine walikuja kupitia Babara ya Burma na kutoa ushahidi katika Pao-shan, Chunking, Ch’eng-tu. Mapainia wenyeji walitumikia katika Shensi na Ningpo

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki