-
Ufunuo na WeweUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Na, tazama! mimi ninakuja upesi. Mwenye furaha ni yeyote anayeshika maneno ya unabii wa hati-kunjo hii.’” (Ufunuo 22:6, 7, NW)
-
-
Ufunuo na WeweUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Akisema katika jina la Yesu, malaika anajulisha wazi kwamba Yesu anakuja karibuni, “upesi.” Huyo lazima awe ni Yesu akija “kama mwivi” kuharibu maadui wa Yehova na kuleta upeo mtukufu na wenye furaha wa Ufunuo. (Ufunuo 16:15, 16, NW) Kwa hiyo, imetupasa sisi tupatanishe maisha zetu na maneno ya “hati-kunjo hii,” Ufunuo, ili tutamkwe kuwa wenye furaha wakati huo.
-