-
Je! Jina Lako Limo Katika Kitabu cha Uhai?Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Yeye ambaye hushinda atapambwa hivyo mavazi ya nje meupe; na mimi kwa njia yoyote sitafuta jina lake kutoka kitabu cha uhai, bali mimi nitakiri jina lake mbele za Baba yangu na mbele ya malaika zake.” (Ufunuo 3:4, 5, NW)
-
-
Je! Jina Lako Limo Katika Kitabu cha Uhai?Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
13. Ni baraka gani zilizo akibani kwa Wakristo wapakwa-mafuta ambao ‘hawachafui mavazi yao ya nje’?
13 Wale katika Sardisi ambao ni waaminifu mpaka mwisho na hawachafui utambulisho wao wa Kikristo wanafikia utimizo wa tumaini zuri ajabu. Baada ya kusimamishwa kwa Ufalme wa Kimesiya katika 1914, wanafufuliwa kwenye uhai wa kiroho na wakiwa washindi hupambwa mavazi meupe ya nje yakiwa ufananisho wa uadilifu wao usio na kasoro, wala waa. Wakiwa wamekwisha tembea katika ile njia yenye kusonga iongozayo kwenye uhai, watafurahia thawabu ya milele.—Mathayo 7:14; Ona pia Ufunuo 6:9-11.
-