Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yote Hayo Hugharimiwaje?
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mapema sana kama toleo la pili la Watch Tower, katika Agosti 1879, Ndugu Russell alitaarifu hivi: “Twaamini ‘Zion’s Watch Tower’ lina YEHOVA akiwa mtegemezaji walo, na inapokuwa hivyo halitaombaomba wala kusihi wanadamu walitegemeze. Wakati Yeye asemaye: ‘Dhahabu na fedha zote za milimani ni zangu,’ ashindwapo kuandaa fedha zihitajiwazo, sisi tutaelewa kwamba ni wakati wa kuacha kuchapa.”

  • Yote Hayo Hugharimiwaje?
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mapema sana kama 1894, wakati Watch Tower Society ilipotuma wasemaji wasafirio, ilitoa tangazo hili kwa manufaa ya kila mtu: “Na ieleweke tokea mwanzo kwamba kukusanya michango au njia nyinginezo za kuombaomba fedha hazikubaliwi wala kukubaliwa na Sosaiti hii.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki