-
Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Kongo (Kinshasa)2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
-
-
Kwa kweli si rahisi kusafiri kwenye barabara za Kongo. Ni kawaida kupata miti iliyoanguka barabarani, madaraja yaliyoharibika, mchanga mwingi, na mashimo yenye matope. Wawakilishi wa ofisi ya tawi na wake zao hujidhabihu sana wanapotumikia kwenye makusanyiko. Lakini, ndugu na dada waaminifu ambao ni wenyeji hujidhabihu hata zaidi kwa sababu mara nyingi wao hulazimika kutembea kwa siku nyingi na kulala vichakani. Bado ndugu wengi hutembea umbali wa kati ya kilometa 50 na 150 ili kuhudhuria makusanyiko ya wilaya.
-
-
Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Kongo (Kinshasa)2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
-
-
[Picha katika ukurasa wa 223]
Wengi hutembea kwa siku nyingi wakiwa wamebeba vyakula na mizigo mingine ili kuhudhuria makusanyiko
-