Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Sayansi Imethibitisha Kwamba Hakuna Mungu?
    Amkeni!—2010 | Novemba
    • Sheria za Asili Zilitokea Jinsi Gani?

      Mwanafizikia na mwandishi Paul Davies anasema kwamba sayansi inaeleza vizuri sana matukio ya kiasili kama mvua. Lakini anasema hivi: “Maswali yanapozuka kama vile ‘Kwa nini kuna sheria za asili?’ [sayansi] haitoi jibu la wazi. Mambo hususa ambayo wanasayansi wamevumbua hayajajibu maswali kama hayo: maswali mengi muhimu hayajajibiwa tangu zamani na bado yanatutatanisha leo.”

  • Je, Sayansi Imethibitisha Kwamba Hakuna Mungu?
    Amkeni!—2010 | Novemba
    • Kulingana na wanaoamini kwamba hakuna Mungu, “ulimwengu ulitokea tu kwa njia isiyojulikana, na unategemeza uhai kwa njia isiyojulikana,” anaeleza Paul Davies. Wale wanaoamini hakuna Mungu wanasema kwamba “kama haingekuwa hivyo, hatungekuwapo na hivyo hatungekuwa tukizungumzia jambo hilo. Huenda ulimwengu na vitu vyote vilivyomo vinategemeana au huenda havitegemeani, lakini havikubuniwa, havina kusudi, au sababu ya kuwepo—na hata ikiwa kungekuwa na sababu, hatungeielewa.” Davis anasema kwamba “maoni hayo yanafaa kwa sababu unaweza kuyatetea,” yaani, ni rahisi kuepuka masuala mengi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki