-
Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ðuro Landić, anayetumika katika Halmashauri ya Tawi ya Kroatia, anakumbuka kwamba nyumba yao ilikuwa depo ya vichapo mpaka Muungano wa Sovieti ulipoporomoka. Ðuro anakumbuka: “Magari yetu ya familia yalikuwa na sehemu za kuficha vichapo upande wa chini na kwenye sehemu ya mbele. Tulijua kwamba tukinaswa, tutapoteza magari yetu na pia tutatupwa gerezani, lakini shangwe ambayo ndugu zetu walionyesha wakati walipopokea vichapo ilituchochea kufanya jitihada hizo.”
-
-
Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 188]
Ðuro Landić
-