-
“Babuloni Mkubwa Ameanguka!”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Na malaika mwingine, wa tatu, akafuata wao, akisema kwa sauti kubwa: ‘Ikiwa yeyote huabudu hayawani-mwitu na mfano wake, na hupokea alama juu ya kipaji cha uso wake au juu ya mkono wake, yeye pia atakunywa ya divai ya kasirani ya Mungu ambayo humiminwa bila kutoholewa ndani ya kikombe cha hasira-kisasi yake.’” (Ufunuo 14:9, 10a, NW)
-
-
“Babuloni Mkubwa Ameanguka!”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Wao watalazimika kunywa kikombe cha hasira-kisasi’ kichungu cha kasirani ya Yehova. Hiyo itamaanisha nini kwao? Katika 607 K.W.K., wakati Yehova alipolazimisha Yerusalemu kunywa “kikombe chake cha hasira-kali” jiji hilo lilipatwa na “mporo, mvunjiko, na njaa na upanga” mikononi mwa Wababuloni. (Isaya 51:17, 19, NW) Hali kadhalika, wapatapo kunywa kikombe cha hasira-kisasi ya Yehova, watukuzaji wa mamlaka za kisiasa za dunia na mfano wazo, Umoja wa Mataifa, tokeo kwao litakuwa baa. (Yeremia 25:17, 32, 33, NW) Wataharibiwa kabisa kabisa.
-