Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 2—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Miaka miwili baadaye, Károly Szabó na József Kiss walikuwa wamerudi pia kwenye nchi hiyo na walikuwa wakieneza kweli ya Biblia hasa katika maeneo ambayo baadaye yalikuja kujulikana kuwa Rumania na Chekoslovakia. Ujapokuwa upinzani wenye jeuri kutoka kwa makasisi wenye hasira, vikundi vya funzo vilifanyizwa, na kazi kubwa ya kutoa ushahidi ikafanywa.

  • Sehemu ya 2—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Vipi Chekoslovakia, iliyokuwa imekuwa taifa katika 1918 baada ya kuanguka kwa Milki ya Austria na Hungaria? Huko kazi ya kutoa ushahidi kwa bidii hata zaidi ilikuwa ikichangia vuno la kiroho. Kazi ya kuhubiri ya mapema zaidi ilikuwa imefanywa katika Kihungaria, Kirusi, Kirumania, na Kijerumani. Halafu, katika 1922, Wanafunzi wa Biblia kadhaa walirudi kutoka Amerika ili kuelekeza fikira zao kwenye idadi ya watu wasemao Kislovaki, na mwaka uliofuata wenzi wa ndoa kutoka Ujerumani walianza kukazia fikira eneo la Wacheki. Makusanyiko ya ukawaida, ingawa madogo, yalisaidia kuwatia moyo na kuwaunganisha akina ndugu. Baada ya makutaniko kupangwa kitengenezo vizuri zaidi kwa ajili ya kazi ya kueneza evanjeli nyumba hadi nyumba katika 1927, ukuzi ulipata kuwa wazi zaidi. Katika 1932 kichocheo chenye nguvu kwa kazi kilitolewa na mkusanyiko wa kimataifa katika Prague, uliohudhuriwa na watu 1,500 hivi kutoka Chekoslovakia na nchi jirani. Kuongezea hayo, vikundi vikubwa vya umati viliona namna ya “Photo-Drama of Creation” ya saa nne iliyoonyeshwa toka upande mmoja wa nchi hadi ule mwingine. Katika pindi ya mwongo mmoja tu, fasihi mbalimbali za Biblia zaidi ya 2,700,000 ziligawanywa kwa vile vikundi mbalimbali vya lugha katika nchi hiyo. Kazi yote hiyo ya kupanda, kupalilia, na kumwagilia maji ilichangia vuno ambalo kwalo wapiga-mbiu wa Ufalme 1,198 walishiriki katika mwaka 1935.

  • Sehemu ya 2—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Kutoka Ujerumani wafanyakazi wenye moyo wa kupenda wakati wa miaka ya 1920 na ya 1930 walichukua migawo katika sehemu nyingi kama vile Austria, Ubelgiji, Bulgaria, Chekoslovakia,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki