-
Mapendekezo ya Kutoa BroshuaHuduma ya Ufalme—2005 | Julai
-
-
Unaporudi, unaweza kusema:
“Mara ya mwisho nilipokutembelea, tulisoma andiko hili. [Soma au nukuu Zaburi 145:16.] Kisha niliuliza swali: Mungu atakomeshaje mateso yote yanayowakumba wanadamu?” Mwombe alete broshua yake. Fungua ukurasa wa 27-28, na uzungumzie fungu la 23-25. Muulize kama angependa kujifunza Biblia, au fanya mpango wa kuzungumzia fungu la 26 na 27 katika ziara itakayofuata.
-
-
Mapendekezo ya Kutoa BroshuaHuduma ya Ufalme—2005 | Julai
-
-
Unaporudi, unaweza kusema:
“Mara ya mwisho tulipozungumza, nilikwambia kwamba ningependa kukuonyesha habari yenye kutia moyo kuhusu mwisho wa magonjwa na kuzeeka. Habari hiyo inazungumziwa hapa.” Mwombe alete broshua yake, kisha msome na kuzungumzia fungu la 6-7 kwenye ukurasa wa 23 hadi 24 wa broshua hiyo. Fanya mpango wa kuzungumzia fungu la 8 na 9 kwenye ziara itakayofuata.
-
-
Mapendekezo ya Kutoa BroshuaHuduma ya Ufalme—2005 | Julai
-
-
Mtu mzima anaporudi, anaweza kusema:
“Nilipokutembelea wakati uliopita, tulisoma Zaburi 37:29, na nilikwambia kwamba nitakuonyesha yale ambayo Biblia inasema kuhusu ufufuo. Angalia maelezo haya.” Mwombe alete broshua yake, na mzungumzie fungu la 12-14 kwenye ukurasa wa 24 na 25 wa broshua hiyo. Muulize kama angependa kujifunza Biblia, au upange kuzungumzia fungu la 15 na 16 kwenye ziara itakayofuata.
-