-
Mbingu Mpya na Dunia MpyaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Na mimi nikaona mbingu mpya na dunia mpya; kwa kuwa mbingu ya kwanza na dunia ya kwanza zilikuwa zimepitilia mbali, na bahari haipo tena.” (Ufunuo 21:1, NW)
-
-
Mbingu Mpya na Dunia MpyaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Mbingu ya kwanza na dunia ya kwanza,” mfumo wa mambo uliopangwa kitengenezo wa Shetani ukiwa na muundo wao wa kiserikali wenye kuongozwa na Shetani na roho waovu wake, utapitilia mbali.
-