-
Sehemu ya 5—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Mipango kwa ajili ya mikusanyiko mikubwa hata zaidi katika Poland ilikuwa inaendelea, mnamo Mei 12, 1989, serikali ilipotoa utambulisho wa kisheria kwa Mashahidi wa Yehova kuwa shirika la kidini.
-
-
Sehemu ya 5—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Sehemu Kubwa Zaidi ya Ulaya Mashariki Yafungua Milango Yayo
Hungaria iliwatambua kisheria Mashahidi wa Yehova katika 1989. Ile Iliyokuwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Ujerumani (GDR) iliondoa marufuku yayo ya miaka 40 juu ya Mashahidi katika 1990, miezi minne tu baada ya kubomolewa kwa Ukuta wa Berlin kuanza. Mwezi uliofuata Shirika la Kikristo la Mashahidi wa Yehova katika Rumania lilitambuliwa kisheria na serikali mpya ya Rumania. Katika 1991 Wizara ya Sheria katika Moscow ilijulisha kwamba Mkataba wa “Shirika la Kidini la Mashahidi wa Yehova Katika U.S.S.R.” ulisajiliwa rasmi. Mwaka uo huo kazi ya Mashahidi wa Yehova ilitambuliwa kisheria katika Bulgaria. Wakati wa 1992, Mashahidi wa Yehova katika Albania walitambuliwa kisheria.
-