-
Eliya Amkweza Mungu wa KweliMnara wa Mlinzi—1998 | Januari 1
-
-
Kisha Eliya akauhutubia umati akisema: “Mtasita-sita [“Mtachechemea,” NW] katikati ya mawazo mawili hata lini?a BWANA [“Yehova,” NW] akiwa ndiye Mungu [“wa kweli,” NW], mfuateni; bali ikiwa Baali ni Mungu [“wa kweli,” NW], haya! mfuateni yeye.”—1 Wafalme 18:17-21.
-
-
Eliya Amkweza Mungu wa KweliMnara wa Mlinzi—1998 | Januari 1
-
-
a Wasomi fulani hudokeza kwamba huenda ikawa Eliya alirejezea dansi ya waabudu wa Baali. Matumizi hayohayo ya hilo neno ‘kuchechemea’ yapatikana kwenye 1 Wafalme 18:26 kufafanua dansi ya manabii wa Baali.
-