Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mto Thames—Urithi wa Pekee wa Uingereza
    Amkeni!—2006 | Februari
    • Maliki Mroma Claudius ndiye aliyeshinda Uingereza miaka 90 baadaye.

      Wakati huo vinamasi vilienea pande zote za ukingo wa Mto Thames, lakini mahali ambapo mkondo hubadilika kilometa 50 hivi kutoka kwenye mlango wake wa bahari, jeshi la Roma lilijenga daraja la mbao baadaye. Hapo kwenye ukingo wa kaskazini wa mto walijenga bandari waliyoita Londinium.a

  • Mto Thames—Urithi wa Pekee wa Uingereza
    Amkeni!—2006 | Februari
    • a Ingawa jina London linatokana na neno la Kilatini Londinium, maneno yote mawili yanaweza kutolewa katika maneno ya Kiselti llyn na din, ambayo yakiwa pamoja yanamaanisha “mji [au ngome] ulio kwenye ziwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki