Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 5—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Katika Guadeloupe, ambako kulikuwa na Shahidi 1 kwa kila 57 ya idadi ya watu wote katika 1992, ni kawaida kwa wenye nyumba kusema, “Mimi sipendezwi.” Kwa hilo, Eric Dodote alikuwa akijibu: “Ninakuelewa, na ninajua jinsi unavyohisi.” Kisha angeongeza: “Lakini ebu nikuulize, Je, ungependa kuishi katika hali bora kuliko zile zilizoko leo?” Baada ya kusikia yale ambayo mwenye nyumba alisema, alikuwa akitumia Biblia kuonyesha jinsi Mungu atakavyoleta hali hizo katika ulimwengu Wake mpya.

  • Sehemu ya 5—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Picha katika ukurasa wa 515]

      Hata eneo linapoenezwa mara nyingi, kama hapa katika Guadeloupe, Mashahidi huendelea kujaribu kufikia mioyo ya majirani wao kwa habari njema

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki