Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 2, 3. Kwa nini Yehova halindi Yuda?

      2 Ebu wazia—watu wa agano la Yehova wamerudi nyuma wakawa waasi-imani! Wamempa kisogo Mfanyi wao, wakajiondoa chini ya mkono wake wa ulinzi. Basi wanasononeka vikali. Je, labda wanamlaumu Yehova kwa magumu yanayowapata? Isaya anawaambia hivi: “Tazama, mkono wa BWANA haukupunguka [“haujawa mfupi ,” “NW”], hata usiweze kuokoa wala sikio lake si zito, hata lisiweze kusikia;

  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 59:1,

  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 3 Maneno hayo yamesemwa kinagaubaga, lakini ni ya kweli. Yehova angali Mungu wa wokovu. Kwa kuwa ndiye “Msikiaji wa sala,” Yeye husikiliza sala za watumishi wake waaminifu. (Zaburi 65:2, NW)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki