Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kielelezo cha Kujidhabihu na cha Uaminifu-Mshikamanifu
    Mnara wa Mlinzi—1997 | Novemba 1
    • Kwa wazi, baadhi ya kazi zake zilikuwa za hali ya chini, kwa maana alipata kujulikana kuwa mmoja “[aliye]mimina maji juu ya mikono yake Eliya.”c (2 Wafalme 3:11)

  • Kielelezo cha Kujidhabihu na cha Uaminifu-Mshikamanifu
    Mnara wa Mlinzi—1997 | Novemba 1
    • c Ilikuwa desturi kwa mtumishi kuyamimina maji juu ya mikono ya bwana-mkubwa wake ili kuiosha, hasa baada ya milo. Zoea hilo lilifanana na kuosha miguu, tendo ambalo lilikuwa la ukaribishaji-wageni, staha, na katika mahusiano fulani, tendo la unyenyekevu.—Mwanzo 24:31, 32; Yohana 13:5.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki