-
Wokovu na Kushangilia Chini ya Utawala wa MesiyaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
b Neno la Kiebrania linalotafsiriwa “tawi” ni ne’tser, na lile linalotafsiriwa “Mnazareti” ni Nots·riʹ.
-
-
Wokovu na Kushangilia Chini ya Utawala wa MesiyaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
5 Yesu ndiye Mesiya aliyeahidiwa. Mathayo, mwandikaji wa gospeli, alirejezea maneno ya Isaya 11:1 aliposema kwamba Yesu alipoitwa “Mnazareti,” jina hilo lilitimiza maneno ya manabii. Kwa kuwa Yesu alilelewa mjini Nazareti, aliitwa Mnazareti, jina ambalo labda lahusiana na neno la Kiebrania lililotumiwa katika Isaya 11:1, yaani, “tawi.”b—Mathayo 2:23, NW, kielezi-chini; Luka 2:39, 40.
-