Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Fuliza Kushikilia kwa Imara Kile Ulicho Nacho”
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • “Na kwa malaika wa kundi katika Filadelfia andika: Hivi ndivyo vitu ambavyo husema yeye ambaye ni mtakatifu,

  • “Fuliza Kushikilia kwa Imara Kile Ulicho Nacho”
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 3. Ni kwa nini inafaa Yesu aitwe “mtakatifu,” na inaweza kusemwaje kwamba yeye ni “wa kweli”?

      3 Yohana alikuwa amesikia Petro akisema kwa binadamu Yesu Kristo hivi: “Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. Nasi tumesadiki, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.” (Yohana 6:68, 69) Kwa kuwa Yehova Mungu ndiye asili yenyewe ya utakatifu, Mwanaye mzaliwa-pekee lazima pia awe “mtakatifu.” (Ufunuo 4:8)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki