-
Je, Bado Sehemu Zote za Biblia Zina Manufaa?Amkeni!—2010 | Machi
-
-
Hebu wazia ukichuma tunda la tofaa kutoka katika mtofaa. Ukiwa na tunda hilo mkononi, je, inamaanisha kwamba mti huo hauna manufaa tena? Sivyo, ikiwa utahitaji matunda tena! Kwa njia fulani Biblia ni kama mtofaa huo. Huenda ikawa sehemu fulani za Biblia, kama vile Zaburi au Mahubiri ya Mlimani zikawa rahisi kusoma na zenye kuvutia. Kwa kuwa tunavutiwa na sehemu hizo za Biblia kama tu tunavyopendezwa na tunda fulani, je, tupuuze sehemu zile nyingine za Biblia?
-
-
Je, Bado Sehemu Zote za Biblia Zina Manufaa?Amkeni!—2010 | Machi
-
-
Kama vile huwezi kuona mizizi ya mtofaa, inaweza kuwa vigumu kuona thamani ya sehemu fulani za Biblia. Huenda ukahitaji kuchimba zaidi ili uone thamani yake, lakini utathawabishwa sana unapofanya hivyo!
-