-
Mungu wa Kweli Anatabiri UkomboziUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Anayeweza kufanya hivyo ni yule tu ‘wa kwanza na wa mwisho,’ aliyekuwako kabla ya miungu yote ya uwongo kuwaziwa, na ambaye bado atakuwako muda mrefu baada ya miungu hiyo kutokomea.
-
-
Mungu wa Kweli Anatabiri UkomboziUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Yehova anaikabili miungu ya uwongo na waabudu wake, akisema: “BWANA, Mfalme wa Israeli, Mkombozi wako, BWANA wa majeshi, asema hivi; Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho; zaidi yangu mimi hapana Mungu.
-