Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jina la Mungu na Jitihada za Alfonso de Zamora za Kutokeza Maandishi Sahihi
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 1
    • Zamora alivunjwa moyo sana na mashambulizi ya Tavera hata akakata rufaa kwa papa. Kwa sehemu, barua yake ilisema: “Mtakatifu, tungependa kukuomba utusaidie . . . na kutulinda kutokana na adui yetu askofu wa Toledo, Don Juan Tavera. Kila siku, bila kuacha, anatutesa kwa njia nyingi. . . . Tunahisi uchungu mwingi sana, kwa kuwa machoni pake sisi ni kama wanyama wanaopelekwa machinjoni. . . . Mtakatifu, ikiwa utasikiliza ombi letu, ‘Yahweh atakuwa mlinzi wako na ataulinda mguu wako usitekwe.’ (Met. 3:23)”b

  • Jina la Mungu na Jitihada za Alfonso de Zamora za Kutokeza Maandishi Sahihi
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 1
    • b Inapendeza kuona kwamba Zamora alitumia jina la Mungu, bali si jina la cheo, katika ombi lake kwa papa wa Roma. Katika tafsiri ya Kihispania ya ombi la Zamora, jina hilo ni “Yahweh.” Haijulikani kabisa jinsi jina hilo lilivyokuwa katika maandishi ya Kilatini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki