Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Mungu wa Faraja Yote”
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Septemba 1
    • a Mungu anaitwa “Baba [au, chanzo] ya rehema nyororo” kwa sababu huruma inatoka kwake na ni sehemu ya utu wake.

  • “Mungu wa Faraja Yote”
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Septemba 1
    • Katika mstari wa 3, Mungu anaitwa “Baba ya rehema nyororo.” Maneno hayo yanamaanisha nini? Neno la Kigiriki linalotafsiriwa “rehema nyororo” linaweza kuwa na wazo la kuhisi huruma kwa ajili ya kuteseka kwa wengine.a Kitabu kimoja cha marejeo ya Biblia kinasema kwamba neno hilo linaweza kutafsiriwa “anahisi sikitiko” au “anajali sana.” “Rehema nyororo” za Mungu zinamchochea kutenda. Kujua sifa hiyo ya utu wa Mungu kunatufanya tutake kumkaribia, sivyo?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki