-
“Nimeyatia Maneno Yangu Katika Kinywa Chako”Mungu Asema Nasi Kupitia Yeremia
-
-
3, 4. Watu fulani wana maoni gani kuhusu kitabu cha Yeremia na cha Maombolezo, lakini kwa nini maoni hayo si sahihi?
3 Hata hivyo, huenda umeona kwamba wasomaji fulani wa Biblia huona kana kwamba kitabu cha Yeremia ‘hakiwahusu.’ Wanakiona kitabu cha Yeremia na cha Maombolezo kuwa maonyo makali na matabiri yenye kuogopesha.a
-
-
“Nimeyatia Maneno Yangu Katika Kinywa Chako”Mungu Asema Nasi Kupitia Yeremia
-
-
a Lugha kadhaa hutumia neno “uyeremia,” kumaanisha “malalamiko” au “manung’uniko ya muda mrefu.” Gazeti The Washington Post liliita filamu moja kuhusu mabadiliko ya kimazingira na ya hali ya anga kuwa kama “usumbufu wa kiyeremia.”
-