Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo Makuu Katika Barua za Yohana na ya Yuda
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Desemba 15
    • Barua mbili za kwanza zinawatia moyo Wakristo waendelee kutembea katika nuru na kupinga uasi-imani.

  • Mambo Makuu Katika Barua za Yohana na ya Yuda
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Desemba 15
    • ENDELEA KUTEMBEA KATIKA NURU NA UPENDO NA KWA IMANI

      (1 Yohana 1:1–5:21)

      Barua ya kwanza ya Yohana iliandikwa kwa ajili ya wote walio katika ushirika na Kristo, na ina mashauri mazuri ya kuwasaidia Wakristo kupinga uasi-imani na kubaki imara kwa ajili ya kweli na uadilifu. Anakazia uhitaji wa kuendelea kutembea katika nuru na upendo na kwa imani.

      Yohana anaandika hivi: “Ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye [Mungu] mwenyewe alivyo katika nuru, tuna ushirika sisi kwa sisi.” Na kwa kuwa Mungu ndiye Chanzo cha upendo, mtume huyo anasema: “Acheni tuendelee kupendana.” Ingawa “kumpenda Mungu” kunatuchochea ‘kuzishika amri zake,’ tunaushinda ulimwengu kupitia “imani yetu” katika Yehova Mungu, Neno lake, na Mwana wake.—1 Yoh. 1:7; 4:7; 5:3, 4.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki