-
Mambo Makuu Katika Barua za Yohana na ya YudaMnara wa Mlinzi—2008 | Desemba 15
-
-
Barua mbili za kwanza zinawatia moyo Wakristo waendelee kutembea katika nuru na kupinga uasi-imani.
-
-
Mambo Makuu Katika Barua za Yohana na ya YudaMnara wa Mlinzi—2008 | Desemba 15
-
-
ENDELEA ‘KUTEMBEA KATIKA KWELI’
Yohana anaanza barua yake ya pili kwa kusema hivi: “Mwanamume mzee, kwa bibi aliyechaguliwa, na kwa watoto wake.” Anashangilia kwa sababu amekuta “baadhi ya watoto [wake] wanatembea katika kweli.”—2 Yoh. 1, 4.
Baada ya kuwatia moyo wasitawishe upendo, Yohana anaandika hivi: “Upendo unamaanisha hivi, kwamba tuendelee kutembea kulingana na amri zake.” Pia, Yohana anaonya kuhusu “yule mdanganyifu na mpinga-Kristo.”—2 Yoh. 5-7.
-