-
Mambo Makuu Katika Barua za Yohana na ya YudaMnara wa Mlinzi—2008 | Desemba 15
-
-
Katika barua ya tatu, Yohana anazungumza kuhusu kutembea katika kweli na pia anawatia moyo Wakristo washirikiane.
-
-
Mambo Makuu Katika Barua za Yohana na ya YudaMnara wa Mlinzi—2008 | Desemba 15
-
-
IWENI “WAFANYAKAZI WENZI KATIKA KWELI”
Yohana anaandika barua yake ya tatu kwa rafiki yake Gayo. Anaandika hivi: “Sina sababu nyingine kubwa zaidi ya kuwa na shukrani kuliko mambo haya, kwamba niwe nikisikia watoto wangu wanaendelea kutembea katika kweli.”—3 Yoh. 4.
Yohana anampongeza Gayo kwa sababu ya ‘kufanya kazi ya uaminifu’ ya kuwasaidia ndugu wageni. Mtume huyo anasema hivi: “Sisi tuna wajibu wa kuwakaribisha watu wa namna hiyo, ili tuwe wafanyakazi wenzi katika kweli.”—3 Yoh. 5-8.
-