-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Sanduku/Picha katika ukurasa wa 96, 97]
“Utumishi wa Ufalme Umenisaidia Kumkaribia Yehova”
THOMAS SKOSANA
ALIZALIWA 1894
ALIBATIZWA 1941
MAELEZO MAFUPI KUMHUSU Alijifunza lugha tano ili awasaidie watu kiroho katika migawo yake akiwa painia.
-
-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Lugha yangu ni Kizulu, lakini muda mfupi baada ya kujifunza kweli, niliamua kwamba ni lazima nijifunze Kiingereza ili niweze kusoma vichapo vyote vya Mashahidi wa Yehova. Kufanya hivyo kulinisaidia kukua kiroho.
Ili nifanikiwe katika utumishi, nimejifunza Kisesotho, Kihosa, Kitswana, na Kiafrikana kidogo.
-