-
“Alitupenda Sisi Kwanza”Mkaribie Yehova
-
-
Kigiriki cha awali kilikuwa na maneno manne yaliyotafsiriwa “upendo.”a Kati ya maneno hayo, a·gaʹpe hutumiwa mara nyingi katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo.
-
-
“Alitupenda Sisi Kwanza”Mkaribie Yehova
-
-
a Kitenzi phi·leʹo, kinachomaanisha ‘kuwa na shauku, kuthamini, au kupenda (kama mtu anavyompenda rafiki wa karibu au ndugu),” hutumiwa mara nyingi katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo. Aina fulani ya neno stor·geʹ, au upendo uliopo kati ya watu wa familia, inatumiwa kwenye 2 Timotheo 3:3 kuonyesha kwamba upendo huo ungekuwa haba katika siku za mwisho. Neno Eʹros, au upendo wa kimahaba kati ya watu wa jinsia tofauti, halitajwi katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo, ijapokuwa upendo huo unazungumziwa katika Biblia.—Mithali 5:15-20.
-