-
Nitamwambiaje Jinsi Ninavyohisi?Amkeni!—2004 | Oktoba 22
-
-
Kwanza, fikiria maoni ya watu walio karibu nawe, yaani, familia na jamii yenu. Kwa mfano, je, kulingana na desturi za kwenu, wazazi ndio wenye daraka la kukutafutia mwenzi?c Huenda ukahisi kwamba uchumba na ndoa ni mambo ya kibinafsi. Hata hivyo, Wakristo hujitahidi kuepuka kuwaudhi wengine bila sababu. Pia, wao hujitahidi kufikiria maoni ya watu wa familia na ya wapendwa wao.
-
-
Nitamwambiaje Jinsi Ninavyohisi?Amkeni!—2004 | Oktoba 22
-
-
c Wengine ambao wamechaguliwa wenzi wa ndoa wamekuwa na ndoa zenye furaha. Kwa mfano, katika nyakati za Biblia, baada ya kuchaguliwa mwenzi, Isaka na Rebeka walifunga ndoa, na Isaka “akampenda.” (Mwanzo 24:67) Somo ni nini? Usipuuze haraka desturi za eneo lenu maadamu hazipingani na sheria ya Mungu.—Matendo 5:29.
-