-
Faraja ya Kweli Inaweza Kupatikana Wapi?Mnara wa Mlinzi—2003 | Mei 1
-
-
Yesu aliwahakikishia hivi: “Msaidiaji, roho takatifu, . . . itawafundisha nyinyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.” (Yohana 14:16, 17, 26)
-
-
Faraja ya Kweli Inaweza Kupatikana Wapi?Mnara wa Mlinzi—2003 | Mei 1
-
-
12. Watu wengi wamepataje faraja kwa sababu roho takatifu iliwasaidia wanafunzi wa Yesu kukumbuka mambo?
12 Mitume walikuwa wamefundishwa mambo mengi na Yesu. Bila shaka hawakusahau kamwe kwamba aliwafundisha, lakini je, walikumbuka yale aliyosema? Je walisahau mafundisho muhimu kwa sababu ya kutokamilika? Yesu aliwahakikishia kwamba roho takatifu ‘ingewakumbusha mambo yote aliyowaambia.’ Kwa hiyo, miaka minane hivi baada ya Yesu kufa, Mathayo aliandika Injili ya kwanza, inayotia ndani Mahubiri ya Mlimani ya Yesu yenye kuchangamsha, mifano mingi aliyotoa kuhusu Ufalme, na habari kamili kuhusu ishara ya kuwapo kwake. Zaidi ya miaka 50 baadaye, mtume Yohana aliandika masimulizi yanayoaminika yenye habari nyingi kuhusu siku chache za mwisho za maisha ya Yesu duniani. Masimulizi hayo yaliyoandikwa chini ya uongozi wa roho yamewafariji watu sana mpaka siku zetu.
-