-
Mpinge Ibilisi na Hila Zake“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
-
-
Fikiria hili: Kulingana na Neno la Mungu, inaonekana kwamba Shetani na roho wake waovu hawawezi kusoma fikira zetu.a Kwa hiyo, kama ilivyotajwa mwanzoni, ili kujua mawazo yetu na kutambua udhaifu wowote wa kiroho tulio nao, roho waovu huchunguza kwa makini matendo yetu kutia ndani burudani tunayochagua.
-
-
Mpinge Ibilisi na Hila Zake“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
-
-
a Majina ya Shetani (Mpinzani, Mchongezi, Mdanganyifu, Mjaribu, Mwongo) hayadokezi kwamba ana uwezo wa kusoma mioyo na akili zetu. Kwa upande mwingine, Yehova anatajwa kuwa “mchunguzaji wa mioyo,” na Yesu anatajwa kuwa yule ‘anayechunguza figo na mioyo.’—Methali 17:3; Ufunuo 2:23.
-