Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Kweli Miujiza Hutukia?
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Februari 15
    • Kichapo The Encyclopedia of Religion kinaeleza kwamba waanzilishi wa Ubudha, Ukristo, na Uislamu walikuwa na maoni mbalimbali kuhusu miujiza, lakini kinasema: “Historia ya baadaye ya dini hizo huonyesha wazi kwamba miujiza na masimulizi kuhusu miujiza yamekuwa sehemu muhimu ya imani ya kidini ya wanadamu.”

  • Je, Kweli Miujiza Hutukia?
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Februari 15
    • Kichapo hichohicho kinasema hivi kuhusu Uislamu: “Waislamu wengi bado hutarajia miujiza itukie. Mapokeo (hadīths) yanasema kwamba Muhammad alifanya miujiza pindi nyingi hadharani. . . . Hata baada ya watakatifu kufa, inaaminika kwamba wao hufanya miujiza wakiwa makaburini ili kuwafaidi waumini, nao watu hutafuta msaada wao kwa bidii.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki