-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Mwaka wa 1990, ofisi ya kutafsiri yenye vifaa vya kutosha ilianzishwa huko Windhoek. Watafsiri zaidi wakaongezwa, na mbali na lugha zilizotangulia kutajwa, vichapo vinatafsiriwa katika Kiherero, Kikwangali, Kikhoekhoegowab, na Kimbukushu. André Bornman na Stephen Jansen wanasimamia ofisi hiyo.
-
-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ofisi ya kutafsiri ya Namibia
-