Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuchapa na Kugawanya Neno Takatifu la Mungu Mwenyewe
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Kutokeza Biblia New World Translation

      Ilikuwa mapema katika Oktoba 1946 kwamba Nathan H. Knorr, aliyekuwa msimamizi wa Watch Tower Society wakati huo, alipendekeza kwanza kwamba Sosaiti itokeze tafsiri mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo. Kazi yenyewe ya tafsiri hiyo ilianza Desemba 2, 1947. Tafsiri yote ilipitiwa tena kwa uangalifu na halmashauri yote ya tafsiri, wote wakiwa Wakristo waliotiwa mafuta kwa roho. Kisha, mnamo Septemba 3, 1949, Ndugu Knorr alifanya mkutano wa pamoja na baraza la wakurugenzi wa mashirika ya Sosaiti ya New York na Pennsylvania. Aliwatangazia kwamba New World Bible Translation Committee ilikuwa imekamilisha kazi ya tafsiri ya lugha ya kisasa ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo na ilikuwa imeikabidhi Sosaiti ili ichapwe.b

  • Kuchapa na Kugawanya Neno Takatifu la Mungu Mwenyewe
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • b Tafsiri hiyo ilitolewa kwa Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania ili ichapwe, pamoja na ombi kwamba majina ya watafsiri yasitangazwe kamwe. Walitaka heshima yote imwendee Yehova Mungu, Mtungaji wa Kimungu wa Neno lake lililopuliziwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki